Verse 1
Moyo Wangu Aliumiza Vibaya Nanusurika kua Hai ,
Nanusurika kua Kua Hai Na Kidonda Ndugu
Alionipa Kina Maliza Tu Dawa Katu Hakiponi Ooh Akiponi!!
Ila Kumuacha Ndio Siwezi Moyo Umemchagua
Yeye japo Najua Hanipendi Kua Naye Sitaki ,
Ila sina budi Moyo Unamuitaji
(Nampenda Anajua ndio Mana Anajisheua Moyo
Una kina Kirefu Kilichonieka Kwake ndo sijaelewa×2)
Pre-Chorus
(Aaghaaghaagh Haya Mapenzi Hayana Macho
Aaghaaghaagh Masikini Moyo Wangu kapenda Mahala sipo x2)
Chorus
( Yule mbaya Ndo nimpendaye
Yule mbaya Ndio nimtakaye
Yule mbaya ndio nimpendaye
Nafsi Mtumwa wa Moyo x2)
Verse 2
Kweli Nafsi Mtumwa wa Moyo
Niliishia kumkumbatia nilipomfunia wazi wazi na jamaa
Aliporudi nikampokea ila akanizuga tena na tena
Mdomoni mchungu ila nimeshindwa kumtema
(Sipougenini ila ni kweusi Anachothamini
Fulusi tatizo mimi mfupi vyangu vyaliwa kichwani x2 )
Pre-Chorus
(Aaghaaghaagh Haya mapenzi hayana Macho
Aaghaaghaagh Masikini Moyo Wangu Kapenda Mahala sipo ×2)
Chorus
(Yule Mbaya ndio nimpendaye
Yule mbaya Ndio nimtakaye
Yule mbaya ndio nimpendaye
Nafsi Mtumwa wa Moyo ×2)
Rate this:
share this on
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on LinkedIn (Opens in new window)
- Click to share on Reddit (Opens in new window)
- Click to share on Pinterest (Opens in new window)
- Click to share on Tumblr (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)
I Like The Page.Good Work And Keep It Up.
Wish To Join You, HERE.
LikeLike
Thanks. You can send email with your contacts to aipateblog@gmail.com
LikeLike